Saturday, December 17, 2011

Read your message before it gets deleted!

Read your message left by Eddie before it gets deleted!



Read your message...



Some more patiently waiting folks:

Shafran
Dar-es-Salam, Tanzania
Qiara
Dar-es-Salam, Tanzania
 
Kipanga Abdul
Zanzibar, Tanzania
 


This email is part of our delivery procedure for the message sent by Eddie. If you have received this email by mistake, please ignore it. The message will be deleted soon.

Have fun!
The Badoo Team

You have received this email, because a Badoo member has left a message for you on Badoo. This is a post-only mailing. Replies to this message are not monitored or answered. If you don't want to receive any more messages from Badoo, please notify us.

Friday, December 9, 2011

Eddie left a message for you...

Eddie left a message for you...

Its sender and content will be shown only to you and you can delete it at any time. You can instantly reply to it, using the message exchange system. To find out what's in the message, just follow this link:

Check your message...



Some more patiently waiting folks:

Rasel
Zanzibar, Tanzania
Gloria
Mvanza, Tanzania
 
Baraka
Dar-es-Salam, Tanzania
 


This email is part of our delivery procedure for the message sent by Eddie. If you have received this email by mistake, please ignore it. The message will be deleted soon.

Have fun!
The Badoo Team

You have received this email, because a Badoo member has left a message for you on Badoo. This is a post-only mailing. Replies to this message are not monitored or answered. If you don't want to receive any more messages from Badoo, please notify us.

Tuesday, September 6, 2011

viongozi wauza madawa ya ulevya


Makongoro Oging' na Issa Mnally
Sakata la baadhi ya viongozi wa dini kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga’, sasa limeleta balaa kiasi cha maaskofu, mashehe, wachungaji na viongozi wengine wakiwemo waliopo serikalini na wafanyabiashara…

Makongoro Oging' na Issa Mnally
Sakata la baadhi ya viongozi wa dini kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga’, sasa limeleta balaa kiasi cha maaskofu, mashehe, wachungaji na viongozi wengine wakiwemo waliopo serikalini na wafanyabiashara wakubwa kutajana kwenye vyombo vya dola.

Bi. Kizee: Tangu nipigwe mabomu, nimeambulia karatasi ya chooni tu!

KARATASI za chooni (tishu) zinaweza kuwa msaada muhimu kwa mwathirika wa mabomu! Kwamba mtu abomolewe nyumba, akose makazi, yaani kulala kwake shida na mateso lakini huyo huyo anapewa tishu zimfariji.

Leo ni miezi sita na siku 23 tangu wakazi wa  Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam walipuliwe na mabomu yaliyokuwa kwenye ghala kuu la silaha za kijeshi, Kikosi namba 511 cha Jeshi la Wananchi Tanzania.

Kumbukumbu ya tukio hilo kwa bibi kizee, Mkegani Mohamed Sultan, 66, (pichani)  ni maumivu makubwa, kwani licha ya serikali kuahidi kuwasaidia waathirika wa mabomu, yeye alichoambulia ni karatasi ya chooni.

“Baada ya milipuko ya mabomu, sijawahi kupata msaada wowote  licha ya nyumba yangu kuharibika vibaya. Nina familia ya watu tisa. Niliwahi kusaidiwa na Taasisi ya Msalaba Mwekundu  karatasi za chooni pakiti mbili na baada ya hapo sijaona msaada wowote toka serikalini.”

WAATHIRIKA WENGINE KILIO
Zaina Binti Mohamed anayeishi Mtaa wa Mahita Ukonga huku akitokwa na machozi alikuwa na haya ya kusema: “Mimi baada ya nyumba yangu kubomolewa na mabomu sina pa kuishi pia huduma ya chakula sipati.

“Huwa najiuliza kwa nini serikali inatutelekeza? Hii serikali kweli inajali watu wake? Maswali hayo na mengine mengi ninapojiuliza huwa sipati jibu nabaki nalia. Unaona haya mahema niliyopewa ? Mvua yote ilikuwa yangu, yamekwisha, yametoboka.

“Maisha yangu na ya familia yangu ni ya kubahatisha, tumelala katika mahema haya mpaka yamechakaa, serikali imetusahau na imeenda kinyume na kauli yake kuwa tutahudumiwa na kupewa kila msaada. Serikali gani inasema uongo na kwenda kinyume na kauli inayowaambia wananchi wake tena wenye shida?

“Mimi nasaidiwa na Msikiti wa Gongo la Mboto lakini kuna baadhi ya watu walioathirika na mabomu nasikia wanapata misaada, huwa najiuliza wanapata kwa utaratibu gani ili nami nipate? Sipati jibu.”

Uwazi liliwafikia waathirika wengi ambao  hadi sasa wanaishi kwenye mahema mabovu yaliyotoboka kama ya wakimbizi na wengine kwenye vibanda ambavyo walijengewa na askari wa Jeshi la Kujenga Taifa ambavyo sasa  vimechoka.

Wananchi hao wanadai kuwa kwa sasa hawana mahala pa kulala kutokana na vibanda hivyo  kubomoka na hawana msaada wowote kutoka ngazi ya kata hadi mkoani.

KAULI YA UONGOZI WA MTAA
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mather Care aliyejitambulisha kwa jina moja la Mwaluko ambao bi mkubwa  Zaina anaishi alikiri kufahamu matatizo ya wakazi hao akasema: “ Ni kweli matatizo yao tunayatambua  lakini serikali ilitoa maelekezo kuwa kuna  watu wangepewa kipaumbele.

“Nikiri tu kuwa  ni kweli Bi Mkegani hakupata msaada kama ambavyo inastahili.” Jitihada za kumpata Mwenyekiti wa Kata ya  Gongo la Mboto hazikuzaa matunda  lakini  mmoja wa wajumbe wa serikali yake aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini kwa kuwa siyo msemaji alisema kuwa ni kweli  malalamiko hayo  ya waathirika yapo na wanashughulikia kwani ni jukumu lao.

KAULI YA MKUU WA WILAYA YA ILALA
Mkuu wa Wilaya Ilala, Leudanis  Gama kwa upande wake alisema kuwa serikali iko macho na suala hilo na  kuna kamati ambazo zinafuatilia kwa ukaribu zaidi na mara nyingi wamekuwa wakitembelea  waathirika hao na zoezi hilo itaendelea hadi hapo kila mmoja atakapopata sehemu sahihi ya kuishi, kula na kuvaa.

Wananchi wakazi wa Ukonga wanadai kuwa kauli ya Rais Kikwete  imepuuzwa kwani baada ya kuagiza wasaidiwe haraka  hakuna kilichotekelezwa na ni aibu kwa dola.

global publisher yatoa jezi

Afisa Masoko wa Global, Benjamin Mwanambuu, akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Habari Group, Paul Tarimo, jezi hizo.  Kulia ni Hamis Shaban, mmoja wa mawakala.
Wakala Said Juma (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwanambuu wakati wa hafla hiyo. Wengine ni Paul Tarimo na Hamis…
Afisa Masoko wa Global, Benjamin Mwanambuu, akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Habari Group, Paul Tarimo, jezi hizo.  Kulia ni Hamis Shaban, mmoja wa mawakala.
Wakala Said Juma (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwanambuu wakati wa hafla hiyo. Wengine ni Paul Tarimo na Hamis Shaban.
KAMPUNI ya Global Publisher inayochapisha magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Champion jana ilitoa msaada wa jezi kwa uongozi wa timu ya mpira ya mawakala wa magazeti yake iitwayo Habari Group kwa lengo la kudumisha umoja katika jamii kupitia michezo.

Mrembo Alexia Williams akipozi mbele ya washiriki wenzake wa Vodacom Miss Tanzania 2011 baada ya kutajwa kuwa ndiye mshindi wa Vodacom Miss Personality 2011.
Mrembo Alexia Williams akibebwa na wenzake wanaoshiriki…
Mrembo Alexia Williams akipozi mbele ya washiriki wenzake wa Vodacom Miss Tanzania 2011 baada ya kutajwa kuwa ndiye mshindi wa Vodacom Miss Personality 2011.
Mrembo Alexia Williams akibebwa na wenzake wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 baada ya kutajwa kuwa ndie mshindi wa Vodacom Miss Personality na kupata tiketi ya kuingia nusu fainali ya Vodacom Miss Tanzania itakayofanyika Septemba 10 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Tayari warembo wengine wanne wameshafanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali. 
Warembo wanne kati ya 30 wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 waliopata kura nyingi za shindano la Vodacom Miss Personality wakipozi kwa picha baada ya kutangazwa. Kutoka kulia ni Dalilla Ghalib, Maua Kimambo, Alexia William na Cynthia Kimasha. Fainali za Vodacom Miss Tanzania 2011 zitafanyika Septemba 10, mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.